Thursday 18 May 2017

WAUMINI WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA WAMFARIJI MWENZAO, GEORGE BINAGI.

Mwenyekiti wa faraja kutoka Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza (kushoto),akimkabidhi muumini wa kanisa hilo George Binagi mchango wa faraja baada ya kufiwa na mama mzazi mapema mwaka huu (Januari 29,2017) kwa niaba ya waumini wengine.

 Juzi jumatatu Mei 15,2017 waumini wa kanisa hilo wakiongozwa na Mchungaji wao, Dkt.Daniel Moses Kulola, walifika nyumbani kwa Binagi, Ghana Jijini Mwanza kumfariji na kufanya ibada ya pamoja baada ya msiba ikiwa ni utaratibu wa kanisa hilo kuungana pamoja kwenye shida na raha.
Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya,Dkt.Daniel Moses Kulola (kulia), akiwa na Mr. & Mrs. George Binagi

Muumini wa EAGT Lumala Mpya
Familia ya Mr. & Mrs.George Binagi, inatoa shukurani za dhani kwa waumini wote wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya chini ya Mchungaji Kiongozi, Dkt.Daniel Moses Kulola, kwa upendo wao, Mungu awabariki.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates