Tuesday 4 November 2014

BIG CRUSADE AT EAGT LUMALA MPYA

The church EAGT LUMALA MPYA is conducting a very big crusade which will be held at the church ground, from 16th Nov to 23rd nov 2014 and the preacher is evangelist and pastor Dr. Daniel Moses Kulola
we welcome you all to come and attend, bring your friend who is unsaved and the preacher will pray for the sick and God will heal them.
Singers: Martha Baraka and Joseph Rwiza from Mbeya will be the guest singers from the day one.





Tuesday 29 July 2014

NZEGA CRUSADE

MKUTANO WA AJABU NA MAAJABU

Kwa wiki kadhaa jarida letu limekuwa linawaomba maombi wadau wote kuombea mkutano wa injili uambao ungelianza tarehe 22/7 hadi 27/7 maombi yenu mungu alijibu..
Mkutano ulikuwa ni mkubwa sana kwa maana ya mahudhurio tangu mwanzo hadi mwisho dalili zilionekana ile siku ya kwanza kwani idadi ilikuwa ya ajabu sana
frm left to right: Mrs Shani, Joram - photographer,  Dr. Kulola, Mrs Kulola, Happy shamawele Singer, Agnes- Singer, Ngese-singer, Masanja- singer and comedian, enos- singer, sarah - singer and Bishop dr. shani


Dr. Kulola leading people to the Lord












my team

my team



my wife



mkutano ukiendelea kukolezwa na waimbaji maarufu kama Masanja mkandamizaji, Happy Shamawele na Agnes Akrama bila kumsahau mwimbaji Sarah Emanuel ambao waliunda kombinesheni kali ya kumpiga ibilisi shetani. 

Mwimbaji mwenyeji alikuwa ni Seiri Andrew. Pia kulikuwa na kwaya kama Omic, Unabii na zingine kama Nzega choir na TAG choir

Muhubiri huyu wa kimataifa aliyepata kibali kwa Mungu na wanadamu aliendelea kuporomosha injili  ya Yesu kwa usahihi kwa watu pia amekuwa akitoa baadhi ya shuhuda za maisha ya mzee Kulola kama kidokezo.

Watu wengi wakimiminika na kukutana na injili wengi ilipelekea kufanya maamuzi ya nguvu kuokoka na kuponywa katika shuhuda zilizo tolewa watu waliofunguliwa ni pamoja 
na wale wenye mapepo mengi sana sana.....

miujiza mingi sana na wengi kuokoka.... Nzega kwa Yesu..





Tuesday 24 June 2014

PASTOR KULOLA NA MASANJA MKANDAMIZAJI SAFARINI USA

Pastor Dr. Daniel Kulola ambaye Mungu amembariki katika kazi hii ya injili Tanzania na nje ya nchi amekuwa akipata mialiko Mingi sana lakini katika hiyo imetokea sasa kupata mlango kwa nchi ya marekani
 
Alikwenda Dec 2013 na kurudi Feb 2014 kwa huduma na kufanikiwa kuhudumu kwenye majimbo mengi km Boston Massachusetts, Washington Dc,  Alabama Birmingham na Texas na kwingine kwingi, haikuishia hapo mwezi wa Tano alipewa na mwaliko wa kurudi huko kipindi hicho aliambatana na waimbaji marafiki zake kama Masanja mkandamizaji na Christina Shusho.
Huduma ilikuwa ya mafanikio makubwa sana kwani wengi wamemrudia Mungu na kufunguliwa katika mahitaji yao.

Sasa Mchungaji Kulola kaitwa tena kuanzia 2/9 hadi 16/10 atakuwa akitembelea majimbo mengi ya marekani akianzia Alabama Birmingham na kufuatia washington Dc anaambatana na timu hiyo hiyo bila kukosa mke wake mpenzi Mercy
Wakati ofisi inaongea na mchungaji Kulola alibainisha kuwa huu ni wakati wa kumfanyia Mungu kazi na siyo kukaa tu.













Friday 20 June 2014

TANGAZO TANGAZO TANGAZO OYES CONFERENCE

                      
                                              
 WAPENDWA WOTE
  SALAAM KATIKA JINA LA YESU KRISTO.
KAMA UNAVYOONA HAPO JUU NAKUKARIBISHA NYOTE KWENYE KONGAMANO KUBWA SANA LA KIMATAIFA LITAKALO FANYIKA HAPA KANISANI
-NYUMA YA SOKO LA SABA SABA LUMALA
KILA SIKU SAA 8 ALASIRI HADI 12.30 JIONI
KUANZIA 22/6/2014 HADI 29/6/2014
WAHUBIRI NI
PASTOR DR. KEN KAMAU KUTOKA KAWANGWARE NAIROBI KENYA
ASKOFU CHARLES MELIYIO TOKA KISERIAN KENYA
PASTOR RASHID NJEJA KUTOKA KAHAMA atatoa ushuhuda
DR. BUSARA MTAALAMU WA UCHUMI NA HISA Atafundisha UCHUMI
CHOIR: KWAYA MBILI TOKA KENYA NA MERCY KEN MWIMBAJI MAARUFU
WENYEJI: UINJILISTI, REVIVAL CHOIR, HOT SPEAR SINGERS, AKRAMA, SHAMAWELE, MLEKWA, NDAGEJI NA PIA TUMEALIKA KWAYA 15 KUTOKA KATIKA JIJI LA MWANZA KAMA MLIMA WA UTUKUFU, GOSHEN, DAWA YA NDOA, BABTIST CHOIR nk
KARIBU SANA BILA KUKOSA NA UFIKE SAA 7.30 MCHANA
0767 749040

Thursday 13 February 2014

UZINDUZI WA KITABU CHA MAISHA NA HUDUMA YA ASKOFU MKUU DR. MOSES KULOLA

UZINDUZI WA KITABU CHA MAISHA NA HUDUMA YA ASKOFU DR. MOSES KULOLA

Kutakuwa na uzinduzi wa kitabu kilichoandikwa kwa utaalam wa hali ya juu kwa mkataba katika ya mch Dr. Daniel Kulola na kampuni ya Matokeo Publishers ya Dar es Salaam.
Maandalizi ya utayarishwaji wa kitabu hiki umeanza miaka miwili iliyopita kwa usaidizi wa karibu wa marehemu Askofu Moses Kulola.

Taarifa ambazo zimethibitika uzinduzi huo ambao utajumuisha maaskofu, viongozi wa serikali na wana injili wote Tanzania nzima utafanyika Dar es Salaam tarehe  9/3/2014. chini ya Matokeo Publishers. Jiandae kujipatia kitabu hiki. Maelekezo ya maeneo yapi uzinduzi huu utafanya utafahamishwa mapema katika Blog hii ya ELM

MKUTANO MKUBWA WA INJILI NDANI YA MIKOCHENI B' ASSEMBLIES OF GOD

UTAFANYIKA NDANI YA KANISA LA MIKOCHENI B' ASSEMBLIES OF GOD  16/3 hadi 23/3/2014
 Mhubiri wa kaimataifa na mch wa kanisa la EAGT Lumala Mpya Mwanza Pastor Dr. Daniel Moses Kulola atakuwa na huduma kubwa ndani ya kanisa la Mikocheni B' assemblies  Mlima wa Moto chini ya Mch Mhe. Dr. Getrude Rwakatare Dar es Salaam kuanzia tarehe 16/3 hadi 23/3/2014.
Kwa namna tunavyoijua huduma ya mch Dr. Kulola imekuwa ni ya baraka sana mahali kote tunaamini umati mkubwa sana wa watu watafurika katika kanisa hilo.
Tukiongea na mch Kulola, ELM news ilitaka kupata uhakika wa safari hiyo pia na kama kweli huduma hiyo itakuwepo kama vile taarifa zilivyo zagaa mahali kote, Mch Kulola alithibitisha ni kweli na mipango ya maandalizi ya mkutano huo wa ndani zimekwisha anza kufanyika ikiwa ni pamoja na maandalizi ya matangazo na maombi pia.
  akizungumza kwa kusisitiza mhubiri huyu wa kimataifa aliwaomba watu wote kufika katika wiki hiyo ya baraka.
  Mch Kulola ambaye tangu mwaka jana 2013 Desemba hadi februari 2014 alikuwa marekani kwa huduma ya injili kwenye majimbo kadhaa amekuwa ni mhubiri wa baraka si nchini tu Tanzania lakini pia kwa nchi nyingi za africa mashariki na kati pia nje za ulaya. Ni mtoto pekee wa askofu marehemu Dr. Moses Kulola ambaye ni mchungaji amekuwa ni changamoto kubwa ya injili katika taifa letu la tanzania. Na ndiye mrithi wa huduma ya mzee.



 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates