Sunday 30 April 2017

MISS BEATRICE ENOCK WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA AVISHWA PETE YA UCHUMBA.

Mtoto wa kiroho aliyezaliwa katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, Mr.Peter Mlekwa, jana jumapili April 30,2017 amevisha pete ya uchumba, mchumba wake Miss Beatrice Enock pia wa kanisa hilo.

Zoezi hilo lilifanyika kanisani hapo chini ya Mchungaji Kiongozi, Dkt.Daniel Moses Kulola, ambapo wawili hao wapendanao walitambulishana mbele ya madhabahu katika kuianza safari yao ya ndoa inayotarajiwa kufanyika mwaka huu.
BMG

Mr.Peter Mlekwa akimvalisha mchumba wake zawadi ya saa
Wachumba, Miss Beatrice Enock na Mr.Peter Mlekwa
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola akiwaombea wawili hao kuwa wachumba
Mchungaji Kulola (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wachumba hao
Miss Beatrice Enock (kulia) akiwa na best lady wake, Happy Emmanuel
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Muda wa pongezi kwa wachumba hao
Waumini wa kanisa la EAGT Lumala Mpya katika picha ya pamoja na wachumba hao
Tunawatakia kila la Kheri katika Uchumba wao na katika kutimiza ndo yao ya kuifikia ndoa takatifu, Miss Beatrice Enock na Mr.Peter Mlekwa.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates