Sunday 12 November 2017

Ndoa ya Victor Misana wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya yafana

Ndoa ya Mr.Victor Misana pamoja na Miss Queen Mrema imefana leo Jumapili Novemba 12,2017 katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza.
Wawili hao wote ni waumini wa kanisa hilo chini ya Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola. Baada ya ndoa hiyo, hafla inafanyika ukumbi wa New Mwanza Hote Jijini Mwanza usiku.
Bwana harusi Victor Misana, akimlaki bibi harusi Queen Mrema. Bwana harusi akithibitisha kuwa ndiye. Maharusi wakiingia kanisani, EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza. Maharusi wakiwa kanisani. Bwana harusi akimvisha pete mkewe.
Bibi harusi akimvisha pete mmewe. Maharusi wakionyesha pete za harusi. Mchungaji Dkt.Daniel Kulola akiwaombea maharusi. Mama Mchungaji Mercy Kulola pia akiwaombea maharusi. Kulia ni mwakilishi wa familia ya bibi harusi akimkabidhi kwa wakwe. Kulia ni mwakilishi wa familia ya bwana harusi akizungumza baada ya kumpokea bibi harusi.
Mr. & Mrs Victor Misana Maharusi pamoja na marafiki zao. Maharusi pamoja na wasimamizi wao. Mama Mchungaji Mercy Kulola (kulia) pamoja na wazazi wa bibi harusi.    
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates