Sunday 12 February 2017

KUELEKEA KWENYE HARUSI YA KIJANA WETU, GEORGE BINAGI.

Jana jumapili Februari 12,2017, mdau George Binagi ambaye ni Mwanahabari wa Lake Fm Mwanza na Mwanablogu wa Binagi Media Group (kulia), alimtambulisha mchumba wake, Pendo Kisaka, mbele ya waumini wenzake wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Jijini Mwanza na kutangaza kusudio la harusi inayotarajiwa kufanyika mwezi March mwaka huu.
Picha na Robert Kasamwa

Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya, Dkt.Daniel Moses Kulola (kulia) pamoja na Mama Mchungaji Mercy Kulola (kushoto), wakiongoza sala ya kuwaombea maharusi watarajiwa.
Bibi harusi mtarajiwa, Pendo Kisaka
Kutoka kushoto ni Mama Mchungaji Mercy Kulola, bibi harusi mtarajiwa Pendo Kisaka, Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola na bwana harusi mtarajiwa George Binagi
Bwana harusi mtarajiwa, George Binagi (kushoto) pamoja na best man wake, Joel Maduka (kulia) wa Storm Fm ya Geita na mtandao 

Shukurani za dhati kwa ndugu, jamaa na marafiki wakiongozwa na kamati ya harusi, wanaohakikisha mipango yote ya harusi inakwenda kama ilivyokusudiwa, Mungu awabariki mno.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates