Sunday 20 November 2016

PICHA YA MAREHEMU ASKOFU DR.MOSES KULOLA NA ALIYEKUA SPIKA MSTAAFU MAREHEMU SAMUEL SITTA WALIPOKUTANA

Katika kuonesha kuwakumbuka watu hawa muhimu katika Tanzania, mtoto wa aliyekua Askofu Mku wa kanisa la EAGT nchini Tanzania Dr.Moses Kulola, afahamikaye kama Mchungaji Dr. Daniel Kulola amepost katika ukurasa wake wa mtandao wa Facebook picha akiwa na baba yake "Kulola " na aliyekua Spika Mstaafu marehemu Samuel Sitta siku walipokutana pamoja uwanja wa ndege katika safari .
Itakumbukwa kuwa Askofu Moses Kulola alifariki dunia mwaka 2013 akiacha alama kama Baba wa Injili nchini Tanzania na kiongozi aliyewalea kihuduma watumishi wengi wakubwa na maarufu , huku aliyekua Spika mstaafu Samuel Sitta amefariki mwezi November mwaka huu 2016 na kuacha simanzi nzito kwa taifa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa kwa taifa la Tanzania katika utumishi wake katika serikali.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates