Sunday 13 November 2016

KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA LAFANYIKA BARAKA KWA WAUMINI WAKE.

 Waumini wa Kanisa la EAGT LUMALA MPYA Jijini Mwanza, wakipata mahubiri, maombi na mafundisho ya mchungaji wa kanisa hilo, Dkt.Daniel Moses Kulola, katika ibada za jana jumapili, Novemba 13,2016.

Mtumishi huyu amefanyika...
 
Mtumishi huyu amefanyika Baraka kwa watu wengi kwani Mungu amekuwa akimtumia vyema kupitia mahubiri na mafundisho yake hivyo hakikisha unafika kwenye huduma za Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza.

Wengi wamebarikiwa kupitia huduma za Mchungaji Dkt.Kulola, wameponywa, wamefanikiwa katika shughuli zao na hakika nguvu ya Kristo inazidi kuonekana ndani ya Kanisa la EAGT Lumala Mpya.
Vijana waliokoka na wenye ari ya kumtumikia Mungu kwa nguvu zote ambao ni zao la kanisa la EAGT Lumala Mpya.
Bonyeza HAPA Kwa Habari Zaidi
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates