Kuna ibada tatu kila jumapili, ibada ya kiingereza kuanzia saa 12 kamili hadi saa moja kamili asubuhi, ibada ya pili ya kiswahili kuanzia saa moja kamili asubuhi hadi saa nne na nusu asubuhi na ibada ya tatu ya kiswahili kuanzia saa nne na nusu asubuhi hadi saa nane kamili mchana.
Usikose kesho kuanzia saa tisa na nusu alasiri, ambapo kutakuwa na mafundisho pamoja na maombezi katika kanisa la EAGT Lumala Mpya ambapo watumishi wa Mungu kutoka Marekani pamoja na watumishi wa Mungu wenyeji kutoka kanisa hilo watakuwepo kukuhudumia kwa jina la Yesu na hakika Bwana atakubariki.
Mchungaji Ken Maxwell (kulia) na mkewe wakitoa salamu zao hii leo
Mtumishi wa Mungu Glen Elleben kutoka Marekani
Watumishi wa Mungu Glen Elleben (kushoto) na mkewe kutoka Marekani wakisalimia kanisa hii leo
Kutoka kulia ni Mchungaji Daniel Kulola wa EAGT Lumala Mpya na Watumishi waengine Mungu kutoka Marekani
Kutoka kulia ni Mchungaji Daniel Kulola wa EAGT Lumala Mpya International Church na mkewe pamoja na watumishi wengine wa Mungu kutoka Marekani
Mchungaji Ken Maxwell kutoka Marekani akihudumu kwenye ibada za leo kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza. Kuna ibada tatu kila jumapili, ibada ya kiingereza kuanzia saa 12 kamili hadi saa moja kamili asubuhi, ibada ya pili ya kiswahili kuanzia saa moja kamili asubuhi hadi saa nne na nusu asubuhi na ibada ya tatu ya kiswahili kuanzia saa nne na nusu asubuhi hadi saa nane kamili mchana.
Bonyeza HAPA kwa picha zaidi