Mchungaji Dokta Daniel Moses Kulola hivi sasa yupo nchini Marekani ambapo yupo kwa ajili ya huduma katika kumtangaza Yesu Kristo na kuwafikia watu wengi duniani,akiwa huko anatarajiwa kuhudumu katika makanisa mbalimbali katika majimbo tofauti tofauti.
hizi ni baadhi ya picha za Mchungaji Daniel Kulola akiwa nchini Marekani.
hizi ni baadhi ya picha za Mchungaji Daniel Kulola akiwa nchini Marekani.
















