Monday 5 September 2016

ILIVYOKUWA KWENYE USIKU WA BWANA BALIYANGA NA MISS PENINA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA.


Jana Septemba 04, 2016 ilikuwa siku njema kwa waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, Bwana Robson Mkesha Baliyanga na Miss Penina Mkama, baada ya kufunga ndoa takatifu katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, chini ya Mchungaji Kiongozi Dkt.Daniel Moses Kulola.

Baada ya ndoa, Hafla ilifanyika kwenye Ukumbi wa Maendeleo House Jijini Mwanza, kama picha inavyoonesha maharusi wakiingia Ukumbini.
Maharusi, Bwana Robson Mkesha Baliyanga (kushoto) na Miss Penina Mkama (kulia) wakiingia ukumbini
Mc Joel Maduka, akitoa mwongozo kabla maharusi kuingia ukumbini
Mwenyekiti wa kamati ya harusi (kushoto) akiwakaribisha maharusi
Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya, Dkt.Daniel Kulola, akifungua sherehe kwa maombi
Maharusi wakikata utepete kuingia ukumbini
Maharusi wakilishana keki, ishara ya upendo
Mwanamke heshima
Wasimamizi/Wapambe wa maharusi nao wakilishana keki
Maharusi na wapambe wao
Maharusi wakinyweshana shampeni
Ndugu, jamaa na marafiki wakiwapongeza maharusi
Ndugu, jamaa na marafiki wakiwapongeza maharusi
Mwenyekiti wa kamati ya harusi akitoa neno kwa maharusi
Kamati ya harusi
Kamati ya harusi
Wageni waalikwa
Waalikwa
Taswira ukumbini
Bonyeza HAPA Kwa Picha za Kanisani
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates