Sunday 4 September 2016

BWANA ROBSON BALIYANGA NA MISS PENINA MKAMA WA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA.

Waumini wawili wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabsaba Ilemela Jijini Mwanza, Bwana Robson Mkesha Baliyanga (katikati) na Miss Penina Mkama (kushoto) leo Septemba 04,2016, wamefunga ndoa (pingu za maisha) takatifu.

Ibada ya ndoa hiyo imefanyika katika Kanisa hilo na kuuongozwa na Mchungaji Kiongozi, Dkt.Daniel Moses Kulola. Tafrija inafanyika jioni kwenye ukumbi wa Maendeleo House uliopo Iloganzara Jijini Mwanza.

"Mungu akasema;
"Mungu akasema; Si vyema mtu huyu awe peke yake, Nitamfanyia mtu wa kufanana naye". Mwanzo 2:18
Bwana harusi akifanya utambuzi wa mkewe, kabla ya ndoa kufungwa
Maharusi wakiingia kanisani
Maharusi wamependeza vyema
Ujumbe umepokelewa duniani na mbinguni.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates