Tuesday 12 September 2017

KARIBU KWENYE MKUTANO MKUBWA WA INJILI JIJINI MWANZA

Kanisa la kimataifa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, linawakawaribisha watu wote kwenye mkutano mkubwa wa injili utakaofanyika kwenye uwanja wa Sabasaba Ilemela.
Mchungaji Kiongozi Dkt.Daniel Moses Kulola pamoja na Mwinjilisti Roggers Mathias kutoka Marekani watahudumu kwenye mkutano huo huku waimbaji mbalimbali kama vile Havillah Gospel Singers, Ambwene Mwasongwe na Sam D wakitumbuiza pia.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates