Sunday 15 January 2017

KUTOKA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA, "KWELI MUNGU YUPO".


Waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Soko Kuu la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, wakifuatilia mahubiri na mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa Mchungaji Kiongozi wa kanisa hilo, Dkt.Daniel Moses Kulola, kwenye ibada za leo jumapili, Januari 15,2017.

Kulikuwa na somo zuri liitwalo "KWELI MUNGU YUPO" kutoka kitabu cha 1-Wafalme 18 hivyo soma kwa kitabu hicho ili ujifunze zaidi kuhusiana na uwepo wa Mungu ukimtafuta kwa uaminifu.

Watoto wakimsikiliza kwa makini Mchungaji, Dkt.Daniel Moses Kulola, baada ya kuwaombea ili kuelekea kwenye mafundisho yao
Jumapili ibada ya kwanza huanza saa 12:00 asubuhi, ibada ya pili saa 01:00 asubuhi na ibada ya tatu saa 04:30 asubuhi huku ibada za katikati ya juma zikifanyika jumatano na ijumaa kuanzia saa 10:00 alasiri.
Waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, akiwemo mama Mchungaji Mercy Daniel Kulola (katikati), wakiwa kwenye maombi kanisani hapo
Waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, wakifuatilia ibada kanisani hapo
Hakikisha hukosi ibada za Kanisa la EAGT Lumala Mpya.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates