Thursday 20 October 2016

MCHUNGAJI WA KANISA LA EAGT MITO YA BARAKA JIJINI DAR ES SALAAM AHUDUMU KATIKA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA.

Mchungaji  Bruno Mwakibolwa kutoka Kanisa la EAGT Mito ya Baraka Temeke Jijini Dar es salaam, jumapili iliyopita Oktoba 16, 2016 alihudumu katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, baada ya kuwasili katika kanisa hilo akitokea nchini Kenya.

Ilikuwa Ibada iliyojaa...
Ilikuwa Ibada iliyojaa neema ambapo Mchungaji Mwakibolwa aliwahimiza waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya kumtumia Mungu kwa moyo wa kweli na watabarikiwa maishani mwao.

Alisema ziko njia mbalimbali za kumtumikia Mungu ikiwemo kuhakikisha waumini wanajikita katika kumjengea Mungu Makanisa bora ili kuwezesha neno la Mungu kusonga mbele.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye ibada katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza
Mama Mchungaji, Mercy Daniel Kulola, akiwa katika ibada hiyo
Kiongozi wa timu ya kusifu na kuabudu, EAGT Lumala Mpya akihudumu katika ibada hiyo
Waumini wa EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza wakiwa kwenye ibada hiyo
Waumini wa EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza wakiwa kwenye ibada hiyo
Hii pia ni miongoni mwa njia bora kumtumikia Mungu
Kutoka kushoto ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT Mito ya Baraka Jijini Dar es salaam, Bruno Mwakibolwa, Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza, Dkt.Daniel Moses Kulola pamoja na Mama Mchungaji, Mercy Daniel Kulola.
Mmoja wa waumini wa EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza akiwa kwenye ibada hiyo
Waumini wa EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza wakiwa kwenye ibada hiyo.
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates