Monday, 25 December 2017
Ibada Maalumu ya Krismasi yanoga Kanisa la EAGT Lumala Mpya
Waumini wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, chini ya Mchungaji Kiongozi Dkt.Daniel Moses Kulola wameungana pamoja kusherekea ibada ya Krismasi kanisani hapo hii leo jumatatu Disemba 25,2017.
Ibada imekuwa ya kuvutia na baadaye imefuatiwa na chakula cha mchana. Fuatilia ilivyokuwa.
Bonyeza HAPA kwa habari zaidi Ibada imekuwa ya kuvutia na baadaye imefuatiwa na chakula cha mchana. Fuatilia ilivyokuwa.
Sunday, 24 December 2017
Salamu za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya 2018 kutoka Kanisa la Lumala Mpya
Ni jumatatu Disemba 25,2017 ambapo Wakristo kote duniani wanaungana pamoja kusherekea Sikukuu ya Krismasi ambayo ni kuzaliwa kwa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
Karibu kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza kupata salamu za Krismasi na mwaka mpya 2018.
Karibu kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza kupata salamu za Krismasi na mwaka mpya 2018.
Salamu za Krismasi na Mwaka Mpya kutoka kwa Mchungaji Daniel Kulola
Salamu za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya 2018 kutoka kwa Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu la
Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza.
Salamu za Krismasi na Mwaka Mpya kutoka kwa Mchungaji Mercy Kulola
Salamu za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya 2018 kutoka kwa Mchungaji Mercy Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza.
Tuesday, 12 December 2017
Anayedai Kusababisha Ajali ya Daladala Ziwa Victoria Aokoka
Ikiwa ni miezi miwili sasa imepita tangu ajali
hiyo mbaya itokee, mtu mmoja ameibuka na kukiri yeye na wenzake kusababisha
ajali hiyo ambapo lengo ilikuwa kumchukua mshirika mwenzao aliyewasaliti
aliyekuwa kwenye gari hiyo.
Sunday, 12 November 2017
Ndoa ya Victor Misana wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya yafana
Ndoa ya Mr.Victor Misana pamoja na Miss Queen Mrema imefana leo Jumapili Novemba 12,2017 katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya Jijini Mwanza.
Wawili hao wote ni waumini wa kanisa hilo chini ya Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola. Baada ya ndoa hiyo, hafla inafanyika ukumbi wa New Mwanza Hote Jijini Mwanza usiku.
Bibi harusi akimvisha pete mmewe.
Mr. & Mrs Victor Misana
Subscribe to:
Posts (Atom)