Monday, 22 August 2016

MCHUNGAJI DANIEL KULOLA WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA JIJINI MWANZA AKIHUDUMU NCHINI MAREKANI.

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Ilemela Jijini Mwanza, Dkt.Daniel Moses Kulola (pichani) yuko nchini Marekani kwa huduma ya kiroho tangu jumanne iliyopita Agost 16,2016 ambapo alianza kuhudumu ijumaa Agost 19,2016 katika Kanisa la "Assemblies Of God Agape Church" lililopo Boston Marekani.

Huduma ya Mchungaji Dkt.Kulola inaendelea katika majimbo mbalimbali nchini Marekani ikiwemo Dallas, Texas, Houston na Arizona.

Aidha Mchungaji Kulola ametoa shukurani zake za dhati kwa familia yake, Kanisa la EAGT Lumala Mpya, ndugu, jamaa pamoja na marafiki kwa kuendelea kumuombea kwa huduma anayoifanya nchini Marekani ambapo watu wengi wanaokoka na kuponywa.
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akihudumu nchini Marekani.
Picha ya pamoja baada ya huduma katika jimbo la Boston
Mchungaji Kulola (katikati) na familia yake
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola (kushoto), akiwa na Mama Mchungaji, Mercy Kulola(kulia).
Bonyeza HAPA Kwa Taarifa Zaidi

Friday, 5 August 2016

MCHUNGAJI DKT.DANIEL KULOLA WA KANISA LA EAGT LUMALA MPYA MWANZA KUITETEMESHA INJILI KWA MARA NYINGINE NCHINI MAREKANI.

Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya la Jijini Mwanza, akihubiri katika moja ya mikutano yake iliyofanyika mkoani Morogoro.

Friday, 29 July 2016

PASTOR DANIEL MOSES KULOLA OF EAGT LUMALA MPYA MWANZA TO VISIT USA.

Greetings my friend, Again God has given to me a chance to come to America, this time i wont stay in USA for long time it is just for 2 weeks then i come back home Tanzania.

My schedule will be in Boston from 9th to 14th August then 15th August to Dallas, Houston to 22nd, on 23rd to Arizona. my ticket back to Tanzania reads on 25th from Arizona to Boston and Boston to Tanzania.
I thought it is good to let you know so that you can pray for me and also call me for greetings.

Saturday, 30 April 2016

THE MISSION HERE IN CANADA

I thank GOD that He helped to connect me with the people in Canada.
1. My host pastor Fred Mitched with his wife
2. Pastor Bob of Global kingdom ministries in Toronto
3. Pastor Domitila Nabibone in Ottawa
4. Pastor Jonathan Esongo in Montreal
The mission though is still on the marathon but already have seen the wonderful hand of God with me and my wife

Monday, 18 April 2016

Worshiping God


PASTOR Dr. DANIEL KULOLA IN USA AND CANADA MISSION MARCH TO MAY 2016

Pastor Kulola has been invited to visit to America again, in some different states, the church of Umoja in Dallas Texas is the Host of his Mission.

the Mission which conducted in Dallas was very well organised, a big number of people were able to attend  from fiierent states and other from Singapore and Africa
the programme went like this
Dallas
Houston
Austin
Fortworth
then pastor Kulola went to Boston Massachusetts whereby he managed to preach to two different churches then went to Connecticut and New York to the House of Refuge church.
Now pastor Kulola is have time in Cincinnati Ohio then he will flying together with his wife to Canada  
 

Sample text

Welcome note

Dear our Brethren in Jesus Welcome to our website. We are so glad that you have chosen to visit our site. On this site you will be able to know us, our values and challenges as a church family, activities and our weekly and even Yearly program and what the Lord is doing through us here in EAGT Lumala mpya church , Mwanza, Tanzania. Our prayer is that as you browse through this website, the Lord will speak to you so that you may partner with us in prayer and any other way that He may lead you to. Let us join hands as we seek to fulfill the mission and vision that God has given us. Let us redeem the time, before the Lord of times returns. Again welcome. Yours in God’s service, Pastor Dr. Daniel Moses kulola.

Sample Text

 
Blogger Templates